Kivuko kikubwa cha MV Magogoni kinachofanya safari zake
kati ya Kivukoni na Kigamboni jijini Dar es Salaam kimekosa muelekeo
majini katika bahari ya Hindi kikiwa na abiria na magari baada ya injini
zake kushindwa kufanya kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment