Facebook Page

karibu nyumbani kwa swaga

****************

*
RSS

SALA



Sala ni ngozo muhimu kwa waisilam swala inamaana ya :
Sala ni maombi kati ya mja na mola wake.
Sala inamfanya mja awe karibu na molawake.
Na bwana mtume muhamad (SAW) amesema katika hadithi yake tukufu ,amesema :
Sala ni nguzo yadin na mwenye kuisimamisha sala basi ameisimamisha dini yake na mwenye kui wacha sala basi ameiangusha dini yake.
Na akaendelea kusema katika katika hadithi ilosahihi amesema ;
Tofauti kati ya muislam na kafiri ni sala . kwaiyo nduguzangu wakislam tuswalini ilini ili tuwe waja wema.
Kwani sala itakuja kuwaombea marafiki zake siku ya kiama na pia itakuja kuombea kaburini.kwani  binadamu atakapo kufa na kupelekwa kaburini vitakuja vitu vi wili  kumuombea rafikiake na hata ukiingizwa kaburini pia utakuwa huna muombezi itakuja sala na Qur an kuja kukuombea na kaburi litanadi kumwa mbia binadamu kwa kusema :-
Mimi ni nyumba ya njaa , mimi ni nyumba ya wadudu na mimi ni nyumba ya ubweke nduguzangu wa kislam.
Swala na Qur an ndio ita kayokuja kukuombea ,
Sala inambadilisha mtu awe na Imani na aweze kuwa karibuna mola wake.

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 comments:

Post a Comment